Rais Alexander Stubb wa Jamhuri ya Finland ahitimisha ziara yake nchini
Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amkaribisha Tanzania mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Finland Mheshimiwa Alexender Stubb ambaye amewasili nchini kwa ziara ya kitaifa ya siku tatu.
Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kushiriki Mazishi ya Hayati Mzee Cleopa David Msuya yatakayofanyika Wilayani Mwanga.
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza Watanzania kuaga mwili wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco ahitimisha ziara yake ya Kiserikali, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amkaribisha mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Medali ya Mother of the Nation Order kutoka kwa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu
Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan atoa Tuzo za Samia Kalamu Awards2025 kwa Waandishi wa Habari katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam
Rais Mhe. Dkt Samia akutana na kuzungumza na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Mhe. Abdullah Bin Al Nahyan
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia kwenye Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi Kitaifa Mkoani Singida
Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino mkoani Dodoma
Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua Benki ya Ushirika Tanzania Jijini Dodoma