Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tovuti Rasmi ya Rais

Maktaba ya Picha

Rais Dkt. Samia azindua Jengo la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania, Tume ya Utumishi wa Mahakama pamoja na Nyumba za Makazi ya Majaji Mkoani Dodoma
Rais Dkt. Samia ahutubia katika Baraza la Eid El Fitr lililofanyika Jijini Dar es Salaam
Rais Dkt. Samia aswali Swala ya Eid El Fitr katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA (Mohamed VI) Kinondoni Jijini Dar es Salaam
Rais Dkt. Samia apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi 8 wanaowakilisha nchi zao Tanzania, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais Dkt. Samia apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2023-2024 pamoja na Taarifa ya Mwaka ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) tarehe 27 Machi, 2025 Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais Dkt. Samia akutana na kuzungumza na viongozi pamoja na wajumbe wa Bodi ya Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA)
Rais Dkt. Samia apokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Mhe. Félix Tshisekedi Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais Dkt. Samia ashiriki Mkutano wa pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kwa njia ya mtandao
Rais Dkt. Samia afuturisha Viongozi wa Siasa, Serikali, Dini na Makundi Maalum Wilaya ya Chake Chake mkoa wa Kusini Pemba, Zanzibar
Rais Dkt. Samia Azindua Sera ya Taifa ya Maji ya Mwaka 2002, Toleo la 2025 katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City, Dar Es Salaam
Mhe. Rais Dkt. Samia ashiriki hafla ya uapisho wa Rais Mteule wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah katika Ikulu ya nchi hiyo Jijini Windhoek
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akibonyeza kitufe kuzindua mfumo wa e-Ardhi kwa ajili ya utoaji wa Hati kwa njia ya kidigitali katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 17 Machi, 2025.