Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Bw. Lawrence Mafuru wakati wa Maadhimisho Nya miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe 9 Desemba, 2023 pamoja na Mkutano wa Kwanza wa Kitaifa wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.