Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Mabalozi katika sherehe ya Mwaka Mpya kwa Mabalozi (Diplomatic Sherry Party) Ikulu ya Chamwino, Dodoma, tarehe 15 Januari, 2026
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awaapisha viongozi mbalimbali, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 13 Januari, 2026
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan afungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA), Dodoma, tarehe 13 Jaanuari, 2026
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awapongeza Wanamichezo waliofanya vizuri katika Mashindano ya Kimataifa, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 10 Januari, 2026
Rais Dkt. Samia akutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Wang Yi, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 10 Januari, 2026
Rais Dkt. Samia Azindua Hoteli ya Jaz Elite Aurora, Zanzibar, tarehe 09 Januari, 2026
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua majengo ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Taasisi ya Sayansi za Bahari (UDSM-IMS) Zanzibar, tarehe 08 Januari, 2026.
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri, Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 07 Januari, 2026.
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na viongozi wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 06 Januari, 2026.
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Tuzo tatu za Utalii za “WORLD TRAVEL AWARDS” ambazo Tanzania imeshinda, Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 05 Januari, 2026
Rais Dkt. Samia akutana na kuzungumza na Balozi wa Kenya anayemaliza muda wake nchini, Mhe. Isaac Njenga Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 17 Desemba, 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan afungua Mkutano wa 9 wa CDF na Makamanda uliofanyika katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa Anga (SKUA) mkoani Tanga, tarehe 15 Desemba, 2025