Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tovuti Rasmi ya Rais

Maktaba ya Picha

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia Mabalozi pamoja na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa katika Sherehe za Mwaka Mpya kwa Mabalozi (Diplomatic Sherry Party) Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais Samia Ashiriki Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Rais Samia Akutana na Wakuu wa Misheni za Uangalizi wa Chaguzi za SADC (SEOM)
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan afungua Skuli ya Sekondari Misufini, Bumbwini Zanzibar wakati wa shamrashamra za kuelekea miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan afungua Hoteli ya Kitalii ya Bawe Island the Cocoon Collection iliyopo katika Kisiwa cha Bawe, Zanzibar
Mhe. Dkt. Samia ashiriki Mkutano wa Dharura wa Utatu wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi hiyo kwa njia ya mtandao, Ikulu Tunguu, Zanzibar
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Mkutano wa Utatu wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ) kwa njia ya Mtandao katika Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan awaapisha Viongozi mbalimbali Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza waombolezaji kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Marehemu Faustine Engelbert Ndugulile katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Viongozi mbalimbali pamoja na Wazee wa Kimila wa jamii ya Kimasai (Malaigwanani) wanaoishi Ngorongoro Mkoani Arusha
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia viongozi katika Mkutano wa kawaida wa 24 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) pamoja na Maadhimisho ya miaka 25 ya Jumuiya hiyo Jijini Arusha