Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan afungua na kuhutubia Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tarehee 14 Novemba, 2025, mkoani Dodoma
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarde 14 Novemba, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Mhe. Vladimir Putin, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 06 Novemba, 2025
Rais Dkt. Samia amuapisha Hamza Saidi Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Ikulu Chamwino, Dodoma, tarehe 05 Novemba, 2025
Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan aapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 03 Novemba, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 29 Oktoba, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Tuzo ya Presidential Global Water Changemakers 2025, Ikulu Tunguu Zanzibar
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SEOM)Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 26 Oktoba, 2025.
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 26 Oktoba, 2025.
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Ujumbe wa Jukwaa la Mabunge la Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (FP-ICGLR) ukiongozwa na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Domitien Ndayizeye Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar, tarehe 26 Oktoba, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Afrika (AUEOM) ulioongozwa na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Botswana na Kiongozi wa Misheni hiyo, Mhe. Mokgweetsi Masisi, Ikulu ndogo Tunguu, Zanzibar, tarehe 25 Oktoba, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Mhe. Felix Antoine Tshisekedi, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 24 Oktoba, 2025