Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Atunukiwa Nishani ya Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (The Grand Cordon), Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 14 Agosti, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Airtel Bw. Sunil Bharti Mittal, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 13 Agosti, 2025
Viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) wamshukuru Rais Dkt. Samia kwa kutekeleza ahadi ya nyongeza ya mishahara ya Watumishi wa Umma
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awaongoza Waombolezaji kuaga mwili wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Yustino Ndugai katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma, tarehe 10 Agosti, 2025
Rais Dkt. Samia atembelea Maonesho ya Kitaifa ya Nanenane, Nzuguni Jijini Dodoma, tarehe 08 Agosti, 2025
Rais Dkt. Samia azindua Maabara Kuu ya Kisasa ya Kilimo Jijini Dodoma, tarehe 08 Agosti, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi wa Algeria, Sudan na Uhispania wanaowakilisha nchi zao nchini Tanzania, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma, tarehe 06 Agosti, 2025
Rais Dkt. Samia afungua Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC), Ubungo Jijini Dar es Salaam, tarehe 01 Agosti, 2025
Rais Dkt. Samia azindua usafirishaji wa mizigo kwa kutumia usafiri wa Treni ya umeme ya SGR kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma, Kwala mkoani Pwani, tarehe 31 Julai, 2025
Rais Dkt. Samia Azindua Kiwanda cha Majaribio cha Uchenjuaji Madini ya Urani, Namtumbo, tarehe 30 Julai, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Rais wa Shirika la Fedha kwa ajili ya ujenzi, la Korea (K-FINCO) Dkt. Eun -Jae Lee Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 26 Julai, 2025
Rais Dkt. Samia Aongoza Sherehe za Kumbukumbu ya Mashujaa, mkoani Dodoma, tarehe 25 Julai, 2025