Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye wafungua Kiwanda cha Mbolea cha Itracom Fertilizers Limited, Nala Jijini Dodoma, tarehe 28 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia Ahutubia kwa Mara ya Mwisho na Kufunga Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tarehe 27 Juni, 2025, Dodoma.
Rais Dkt. Samia Aelekea Dodoma Kufunga Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Rais Dkt. Samia Aongoza Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Jamhuri ya Msumbiji
Rais Dkt. Samia Akiwasili Jijini Maputo Kushiriki Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Msumbiji, tarde 24 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan atembelea Kituo cha Utamaduni na Makumbusho ya Wasukuma Bujora na Kufungua Tamasha la Utamaduni la Bulabo la Kanda ya Ziwa, lililofanyika Kisesa, mkoani Mwanza, tarehe 21 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia azungumza na makundi mbalimbali ya jamii wakiwemo sungusungu, waendesha bodaboda na viongozi wa dini kutoka mikoa ya Tabora, Shinyanga, Simiyu, Geita na Mwanza, katika mkutano uliofanyika tarehe 20 Juni, 2025 katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza.
Rais Dkt. Samia azindua Mradi wa Chanzo na Kituo cha kutibu maji cha Butimba uliotekelezwa chini ya Programu ya Maji na usafi wa Mazingira ya Ziwa Victoria (LVWTSAN)
Picha mbalimbali za Daraja la John Pombe Magufuli (Kigongo - Busisi)
Rais Dkt. Samia Akihutubia Wananchi baada ya Ufunguzi wa Daraja la John Pombe Magufuli Jijini Mwanza, tarehe 19 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia Afungua Daraja la John Pombe Magufuli (Kigongo-Busisi), Jijini Mwanza, tarehe 19 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia akihutubia wananchi wa Mkoa wa Simiyu katika majumuisho ya ziara yake mkoani humo, tarehe 19 Juni, 2025