Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Gawio la Serikali, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan afunga Mafunzo ya Maafisa na Wakaguzi Wasaidizi wa Jeshi la Polisi Tanzania Jijini Dar es Salaam
Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza Harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Watoto wenye mahitaji Maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre kwenye hafla iliyofanyika Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam
Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan atunukiwa Tuzo Maalum ya Heshima na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dodoma
Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awaapisha Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwa njia ya mtandao na Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Kimataifa wa kusaidia Mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria (Global Fund), Bw. Peter Sands, kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano baina ya Mfuko huo na Tanzania, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 23 Mei, 2025.
Rais Dkt. Samia amkaribisha Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais Dkt. Samia ashiriki zoezi la uboreshaji taarifa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Chamwino, Dodoma
Rais Dkt. Samia Aelekea Dodoma kwa Treni ya SGR Kushiriki Zoezi La Kuboresha Taarifa katika Daftari ka Kudumu la Wapiga Kura
Rais Alexander Stubb wa Jamhuri ya Finland ahitimisha ziara yake nchini
Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amkaribisha Tanzania mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Finland Mheshimiwa Alexender Stubb ambaye amewasili nchini kwa ziara ya kitaifa ya siku tatu.
Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kushiriki Mazishi ya Hayati Mzee Cleopa David Msuya yatakayofanyika Wilayani Mwanga.