Rais Dkt. Samia Aongoza Kikao cha Mwisho cha Baraza la Mawaziri, Ikulu Chamwino, Dodoma, tarehe 14 Julai, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Congo - Brazzaville Mhe. Denis Sassou Nguesso, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Tuzo Maalum ya “Power of 100 Women Award kutoka kwa Uongozi wa Access Bank Group, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 08 Julai, 2025
Rais Dkt. Samia Ahudhuria Sherehe za Miaka 50 ya Uhuru wa Umoja wa Visiwa vya Comoro, tarehe 06n Julai, 2025
Rais Dkt. Samia Azindua Kanisa la Arise and Shine, Jijini Dar es Salaam, tarehe 05 Julai, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye wafungua Kiwanda cha Mbolea cha Itracom Fertilizers Limited, Nala Jijini Dodoma, tarehe 28 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia Ahutubia kwa Mara ya Mwisho na Kufunga Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tarehe 27 Juni, 2025, Dodoma.
Rais Dkt. Samia Aelekea Dodoma Kufunga Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Rais Dkt. Samia Aongoza Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Jamhuri ya Msumbiji
Rais Dkt. Samia Akiwasili Jijini Maputo Kushiriki Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Msumbiji, tarde 24 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan atembelea Kituo cha Utamaduni na Makumbusho ya Wasukuma Bujora na Kufungua Tamasha la Utamaduni la Bulabo la Kanda ya Ziwa, lililofanyika Kisesa, mkoani Mwanza, tarehe 21 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia azungumza na makundi mbalimbali ya jamii wakiwemo sungusungu, waendesha bodaboda na viongozi wa dini kutoka mikoa ya Tabora, Shinyanga, Simiyu, Geita na Mwanza, katika mkutano uliofanyika tarehe 20 Juni, 2025 katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza.