Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tovuti Rasmi ya Rais

Maktaba ya Picha

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan awaapisha Viongozi mbalimbali Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza waombolezaji kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Marehemu Faustine Engelbert Ndugulile katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Viongozi mbalimbali pamoja na Wazee wa Kimila wa jamii ya Kimasai (Malaigwanani) wanaoishi Ngorongoro Mkoani Arusha
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia viongozi katika Mkutano wa kawaida wa 24 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) pamoja na Maadhimisho ya miaka 25 ya Jumuiya hiyo Jijini Arusha
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Mkutano wa kawaida wa 24 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) pamoja na Maadhimisho ya miaka 25 ya Jumuiya hiyo Jijini Arusha
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Mjadala wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) katika maadhimisho ya miaka 25 ya Jumuiya hiyo Jijini Arusha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan awatunuku Shahada ya Sayansi ya Kijeshi (BMS), Maafisa wanafunzi Kundi la 05/21 katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli mkoani Arusha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan awatunuku Kamisheni Maafisa wanafunzi 236 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli mkoani Arusha
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili Mkoani Arusha kwa ajili ya ziara ya Kikazi
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan apiga kura katika Kituo cha kupiga kura kitongoji cha Sokoine, Chamwino Mkoani Dodoma
Rais Dkt. Samia aweka jiwe la msingi la ujenzi wa Msikiti wa Al Ghaith Mkoani Morogoro
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Hati za utambulisho kutoka kwa Mabalozi 10 wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma