Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na viongozi wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 06 Januari, 2026.
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Tuzo tatu za Utalii za “WORLD TRAVEL AWARDS” ambazo Tanzania imeshinda, Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 05 Januari, 2026
Rais Dkt. Samia akutana na kuzungumza na Balozi wa Kenya anayemaliza muda wake nchini, Mhe. Isaac Njenga Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 17 Desemba, 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan afungua Mkutano wa 9 wa CDF na Makamanda uliofanyika katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa Anga (SKUA) mkoani Tanga, tarehe 15 Desemba, 2025
Rais Dkt. Samia aongoza waombolezaji kuaga mwili wa Mbunge Jenista Mhagama, tarehe 13 Desemba, 2025, mkoani Dodoma
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi wa Angola, Uholanzi, Iran, Slovakia pamoja na Namibia wanaowakilisha nchi zao Tanzania, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania Andrew Lentz, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 08 Desemba, 2025.
Rais Dkt. Samia azungumza na wazee wa mkoa wa Dar es Salaam, tarehe 02 Desemba, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni Maafisa Wanafunzi 296 katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli, mkoani Arusha, tarehe 22 Novemba, 2025
Rais Dkt. Samia awasili Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro, (KIA) safarini kuelekea Arusha, tarehe 21 Novemba, 2025
Rais Dkt. Samia awaapisha viongozi mbalimbali, Ikulu Chamwino, Dodoma, tarehe 21 Novemba, 2025
Rais Dkt. Samia Azindua Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba, 2025