Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tovuti Rasmi ya Rais

Maktaba ya Picha

Rais Dkt. Samia Akiweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Amali ya Mwamapalala, Wilayani Itilima, Mkoani Simiyu, tarehe 18 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia Ahutubia Wananchi wa Wilaya ya Maswa, Mkoani Simiyu, tarehe 18 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Afungua Hospitali ya Wilaya na Kuhutubia Wananchi wa Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, tarehe 17 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Ahutubia Wananchi wa Wilaya ya Meatu, Mkoani Simiyu, tarde 17 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia azindua Kiwanda cha Kuchakata Pamba cha Biosustain Tanzania Limited, Meatu, Mkoani Simiyu, tarehe 17 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia Azindua Mradi wa Maji Lamadi, Wilaya ya Busega, na Kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi Mkoani Simiyu, tarde 19 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia azindua Mpango wa Miaka Mitano wa Chanjo na Utambuzi wa Mifugo katika Viwanja vya Nanenane, Bariadi mkoani Simiyu.
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili Jijini Mwanza akiwa njiani kuelekea Bariadi Mkoani Simiyu kwa ajili ya ziara ya Kikazi mkoani humo.
Viongozi na Wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya uapisho wa Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. George Mcheche Masaju, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 15 Juni, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na mwenyeji wake, Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina wakikagua maendeleo ya ujenzi wa Barbara ya Mzunguko wa Nje ya Dodoma (Dodoma Outer Ring Road) na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato, Jijini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Gawio la Serikali, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan afunga Mafunzo ya Maafisa na Wakaguzi Wasaidizi wa Jeshi la Polisi Tanzania Jijini Dar es Salaam