Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 29 Oktoba, 2025
                                                
                                             
                                                                                        
                                                                                
                                            
                                                
                                                
                                                    
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Tuzo ya Presidential Global Water Changemakers 2025, Ikulu Tunguu Zanzibar
                                                
                                             
                                                                                        
                                                                                
                                            
                                                
                                                
                                                    
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SEOM)Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 26 Oktoba, 2025.
                                                
                                             
                                                                                        
                                                                                
                                            
                                                
                                                
                                                    
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 26 Oktoba, 2025.
                                                
                                             
                                                                                        
                                                                                
                                            
                                                
                                                
                                                    
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Ujumbe wa Jukwaa la Mabunge la Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (FP-ICGLR) ukiongozwa na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Domitien Ndayizeye Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar, tarehe 26 Oktoba, 2025
                                                
                                             
                                                                                        
                                                                                
                                            
                                                
                                                
                                                    
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Afrika (AUEOM) ulioongozwa na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Botswana na Kiongozi wa Misheni hiyo, Mhe. Mokgweetsi Masisi, Ikulu ndogo Tunguu, Zanzibar, tarehe 25 Oktoba, 2025
                                                
                                             
                                                                                        
                                                                                
                                            
                                                
                                                
                                                    
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Mhe. Felix Antoine Tshisekedi, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 24 Oktoba, 2025
                                                
                                             
                                                                                        
                                                                                
                                            
                                                
                                                
                                                    
Rais Dkt. Samia Awaapisha Viongozi Wateule, Ikulu Chamwino, Dodoma, tarehe 26 Agosti, 2025
                                                
                                             
                                                                                        
                                                                                
                                            
                                                
                                                
                                                    
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Ashiriki Kongamano la Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 Jijini Dar es Salaam, tarehe 24 Agosti, 2025
                                                
                                             
                                                                                        
                                                                                
                                            
                                                
                                                
                                                    
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Atunukiwa Nishani ya Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (The  Grand Cordon), Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 14 Agosti, 2025
                                                
                                             
                                                                                        
                                                                                
                                            
                                                
                                                
                                                    
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Airtel Bw. Sunil Bharti Mittal, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 13 Agosti, 2025
                                                
                                             
                                                                                        
                                                                                
                                            
                                                
                                                
                                                    
Viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) wamshukuru Rais Dkt. Samia kwa kutekeleza ahadi ya nyongeza ya mishahara ya Watumishi wa Umma