Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea tuzo maalum ya shukrani kutoka kwa Rais wa TUCTA, Bw. Tumaini Nyamhokya kwa kutambua mchango wake katika kuboresha maslahi ya wafanyakazi nchini, Ikulu jijini Dar es Salaam, tarehe 12 Agosti, 2025.