Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina wakisikiliza maelezo kutoka kwa Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega, kuhusu maendeleo ya ujenzi wa barabara ya mzunguko wa nje ya Jiji la Dodoma (Dodoma outer ring road) yenye urefu wa kilomita 112.3, katika eneo la Mtumba, Jijini Dodoma, tarehe 14 Juni, 2025.