Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akionesha Tuzo ya Heshima na Shukrani aliyopewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo, wakati wa hafla ya uzinduzi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC), Jijini Dodoma, tarehe 17 Julai, 2025.