Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye, Katibu Mkuu wa Umoja wa Posta Afrika (PAPU) Dkt. Sifundo Moyo pamoja na viongozi wengine kwenye picha ya pamoja mara baada ya kufungua Jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU Tower) lililopo eneo la Philips Jijini Arusha tarehe 02 Septemba, 2023.