Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi wa Angola, Uholanzi, Iran, Slovakia pamoja na Namibia wanaowakilisha nchi zao Tanzania, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania Andrew Lentz, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 08 Desemba, 2025.
Rais Dkt. Samia azungumza na wazee wa mkoa wa Dar es Salaam, tarehe 02 Desemba, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni Maafisa Wanafunzi 296 katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli, mkoani Arusha, tarehe 22 Novemba, 2025
Rais Dkt. Samia awasili Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro, (KIA) safarini kuelekea Arusha, tarehe 21 Novemba, 2025
Rais Dkt. Samia awaapisha viongozi mbalimbali, Ikulu Chamwino, Dodoma, tarehe 21 Novemba, 2025
Rais Dkt. Samia Azindua Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba, 2025
Rais Dkt. Samia awaapisha Mawaziri na Naibu Mawaziri, Ikulu Chamwino, Dodoma, tarehe 18 Novemba, 2025
Rais Dkt. Samia atangaza Baraza la Mawaziri, Ikulu Chamwino, Dodoma, tarehe 17 Novemba, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan afungua na kuhutubia Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tarehee 14 Novemba, 2025, mkoani Dodoma
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarde 14 Novemba, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Mhe. Vladimir Putin, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 06 Novemba, 2025