Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Burundi, Mhe. Évariste Ndayishimiye, wakipanda mti wa kumbukumbu kabla ya kuzindua Kiwanda cha mbolea cha ITRACOM Fertilizers Limited kilichopo Nala, jijini Dodoma, tarehe 28 Juni, 2025