Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya Mageuzi katika Sekta ya Maji (The Game Changer Award) kutoka Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso kwa niaba ya hiyo wakati wa hafla ya Kilele cha Wiki ya Maji na Uzinduzi wa Sera ya Taifa ya Maji 2002, Toleo la 2025 katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City tarehe 22 Machi 2025, Dar es Salaam.