Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tovuti Rasmi ya Rais

Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi(Albinism ) wanaosoma Shule ya St. William iliyopo Mbinga mkoani Ruvuma. Rais Dkt. Magufuli amewachangia watoto hao kiasi cha Shilingi milioni tatu.


-