Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tovuti Rasmi ya Rais

Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondary ya Wasichana Songea (Girls) mara baada ya kuhutubia wananchi wa Songea mkoani Ruvuma katika uwanja wa Majimaji. Rais Magufuli ameichangia shule hiyo kiasi cha Shilingi milioni 5


-