Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tovuti Rasmi ya Rais

Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivalishwa Beji kama ishara ya kukabidhiwa Uenyekiti wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika kutoka kwa Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Rais wa Namibia Mheshimiwa Dkt. Hage Geingob katika mkutano uliofanyika ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Centre JNICC jijini Dar es Salaam.


-