Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tovuti Rasmi ya Rais

Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitunukiwa Shahada ya Heshma ya Udaktari wa Falsafa katika Sayansi na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa katika ukumbi wa Chimwaga ulipo chuoni hapo Mkoani Dodoma.Novemba 21, 2019 (Bofya blog kwa habari na picha)


-