Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tovuti Rasmi ya Rais

Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua Tumbaku ambayo ipo tayari kwa kuuzwa alipotembelea pamoja na Rais wa Jamhuri ya Malawi Prof. Arthur Peter Mutharika katika eneo la Kanengo Jijini Lilongwe kabla ya kuzindua rasmi msimu wa Soko la biashara Jijini Lilongwe Malawi.Aprili 25, 2019.


-