Habari
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza baada ya kuwaapisha Mabalozi wapya wanne walioteuliwa kuwaikilisha Tanzania katika nchi mbalimbali walizopangiwa . Hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020

-