Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tovuti Rasmi ya Rais

Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapiasha Profesa Ibrahim Hamis Juma kuwa jaji mkuu wa 6 (sita)wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya uhuru hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Septemba 11,2017.(Bofya blog kwa habari na picha)


-