Habari
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua sukari kabla ya kufungwa kwenye mifuko yake alipotembelea kiwanda cha sukari cha Kagera kilichopo wilaya ya Misenyi mkoa wa Kagera Novemba 8, 2017.(Bofya blog kwa habari na picha)
-