Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tovuti Rasmi ya Rais

Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia zawadi ya Kitabu alichopewa Dkt. Akiva Tamir Mwakilishi wa Madaktari hao kutoka Taasisi ya Save a Child’s Heart kutoka Israel kama Heshma Maalumu ambayo Taasisi hiyo huitoa kwa watu Maalum.Ikulu Jijini Dar es salaam,Novemba 8,2018(Bofya blog kwa habari na picha)


-