Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tovuti Rasmi ya Rais

Habari

Kuapishwa Baraza la Mawaziri


Mnaarifiwa kuwa Mawaziri na Manaibu Waziri walioteuliwa na Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, wataapishwa siku ya jumamosi tarehe 12 Desemba 2015  Ikulu jijini Dare s salaam .

Tukio hili litafanyika kuanziza saa tano asubuhi

 

Gerson Msigwa

Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu

11 Desemba 2015