Habari
Rais Dkt.Magufuli amumwandalia mgeni wake Rais Felix Tshisekedi keki ya Birthday ampongeza kwa kusherekea miaka 57 ya kuzaliwa akiwa nchini Tanzania Wakati wa Dhifa ya Kitaifa aliyomuandalia Ikulu Jijini Dar es salaam. June 13, 2019
-




