TAAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU
Simu : +255-22-2114512, 2116898
Email : press@ikulu.go.tz
Tovuti : www.ikulu.go.tz
Faksi : 255-22-2113425
OFISI YA RAIS,
IKULU,
1 BARABARA YA BARACK OBAMA,
11400 DAR ES SALAAM,
TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Mkoani Dar es Salaam Bw. Aron Titus Kagurumjuli.
Mhe. Rais Magufuli ametengua uteuzi huo kuanzia leo tarehe 16 Februari, 2021.
Uteuzi wa Mkurugenzi mwingine wa Manispaa hiyo utafanywa baadaye.
Hatimiliki ©2015 Ikulu. Haki zote zimehifadhiwa. Sera ya Faragha | Kanusho|
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) na Inaendeshwa na Ofisi ya Rais Ikulu